Sunday, December 23, 2012

YUSUPH KITUMBO TUMAINI LA KUPANDA KWA SOKA TABORA

 Mwenyekiti wa Chama cha mpira wa miguu mkoa wa Tabora Yusuph Kitumbo akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi huo
 Safu ya uongozi wa Tarefa
Baadhi ya wadau wakimpongeza Yufusu Kitumbo kwa ushindi alioupata katika uchaguzi mkuu wa Tarefa.

No comments:

Post a Comment