Tuesday, December 4, 2012

KILIMANJARO STARS KUPAMBANA NA ZANZIBAR HEROES KATIKA NUSU FAINALI YA CECAFA CHALLENGE

 Kiungo mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Stars inayadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Amri Kiemba na beki wa timu ya Rwanda, Michel Rusheshangoga wakiwania mpira wakati wa mchezo wa Robo  Fainali ya kwanza uliochezwa leo katika Uwanja wa KCC uliopo Lugogo nchini Uganda. (Na Mpiga Picha Wetu)
 Kiungo mchezeshaji wa Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Mwinyi Kazimoto akizuiwa na beki wa Rwanda, Ismail Nshutiyamagara wakati wa mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya michuano ya Cecafa Chalenge uliochezwa katika Uwanja wa KCC uliopo Lugogo
 Kipa wa Rwanda aliyelala chini akijitahidi kuokoa goli lililofungwa na Amri Kiemba baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Mwinyi Kazimoto ya kuwapita mabeki wa timu ya Rwanda
 Mashabiki wa Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, wakishangilia wakati wa mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya michunao ya Cecafa Challenge dhidi Rwanda uliochezwa katika Uwanja wa KCC uliopo Lugogo nchini Uganda. Kilimanjaro Stars ilishinda 2-0
 Mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Mrisho Ngasa aliyelala chini na wachezaji wenzake wakishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuwafunga Rwanda 2-0 katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa leo katika Uwanja wa KCC uliopo Lugogo nchini Uganda
Wachezaji wa Kilimanjaro Stars inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager wakitoka Uwanjani baada ya kipindi cha kwanza kumalizika katika mchezo wa Robo Fainali ya kwanza ya michuano ya Cecafa Challenge uliochezwa katika Uwanja wa KCC uliopo Lugogo

No comments:

Post a Comment