Waziri
wa ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Shamsi Vuai Nahodha akiwa
katika picha ya pamoja na maofisa waandamizi 42 wenye vyeo vya meja
hadi kanali wa nchi za ukanda wa afrika mashariki na nchi za jumuiya ya
maendeleo kusini mwa Afrika SADC pamoja na viongozi mbalimbali wa
jeshi mara baada ya kuhitimu mafunzo ya unadhimu katika chuo cha
ukamanda na unadhimu (CSC) Arusha leo. Picha na Woinde Shizza
No comments:
Post a Comment