Tuesday, December 4, 2012

MH. SHY ROSE BANJI AKUTANA NA KIONGOZI MTUKUFU AGA KHAN NA KUZUNGUMZIA CHANGAMOTO ZA MAENDELEO AFRIKA MASHARIKI.



Kiongozi Mtukufu Aga Khan ambaye ndiye Mwenyekiti wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN) na Kiongozi wa Waislamu wa Ismailia akizungumza mawili matatu ya kimaendeleo na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania Mh. Shy-Rose Bhanji wakati wa ufunguzi wa Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mkoni Arusha. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Masuala ya Kidiplomasia ya AKDN Dkt. Shafik Sachedina.
Picha zote kwa Hisani ya Ikulu

No comments:

Post a Comment