Thursday, October 25, 2012

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO YAZINDUA HUDUMA YA (Tigo Prepaid Internationl Roming)


Afisa masoko wa kampuni ya Tigo(kushoto)Bi. Jaequline Nnunduma  akiongea na waandishi wa habari jana kwenye Hotel ya Southen Sun jijini Dar es salaaam wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya Tigo Prepaid Internationl Roming ambapo wateja wanaotumia huduma za malipo ya kabla wataweza kuwasiliana kutumia namba zao za tigo wakiwa katika nchi za Africa mashariki kwa bei nafuu kupitia huduma ya Tigo Prepaid Internationl Roming nchi hizo ni Kenya Uganda na Rwanda katikati ni  Afisa uhusiano wa  Tigo Bi.Tuli Mwaikenda(kulia)meneja wa bidhaa za simu za kimataifa Tigo Bi. Mwajuma Mwenda
Baadhi ya waandishi wa habari walioudhuria katika uzinduzi huo jana
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWEBLOG.COM

No comments:

Post a Comment