Thursday, October 25, 2012

KONGAMANO LA HAKI ZA WANAWAKE NA KATIBA

 
Maria Sarungi mmoja wa waandaaji wa kongamano hili , akiwasomea  majumuisho ya yote yaliyojadiliwa katika kongamano hili lililohusisha wanaharakati kutoka sehemu mbalimbali nchini lilifanyika kwa siku tatu mfululizo katika hotel ya Blue Pearl,Ubungo Plaza,jijini  Dar es Salaam
Kazi na dawa na raha pia wakijipa…kuna nyimbo zao wenyewe wanaimba….wanawakee wa Tanzania!!
HII NDIO KAMATI YA UFUNDI WA KONGAMANO HILI, LILILOHUSISHA WANAHARAKATI,WAJASIRIAMALI NA WANAWAKE MBALIMBALI KUTOKA KILA SEKTA ZA MIJINI NA HATA ZILE ZILIZOKO PEMBEZONI

Mwenyekiti Mary Rusimbi akikusanya maoni ya mwisho ili kupata majumuisho wa kongamano hilo.

No comments:

Post a Comment