Thursday, October 25, 2012

NHC YAZINDUA RASMI UUZWAJI WA NYUMBA ZA MINDU MANISPAA YA ILALA

Mkurugenzi wa maendeleo ya biashara Shirika la nyumba Tanzania Bw.David Shambwe akiongea na waandishi wa habari jana kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam wakati wa uzinduzi wa uuzwaji wa mradi wa nyumba zilizoko mtaa wa Mindu mansipaa ya Ilala jijini Dar es salaam nyumba hizo ni  mahsusi kwa watu wenye kipato cha juu na kati ambapo wananchi wametakiwa kununua nyumba hizo kwa kiasi cha shilingi milioni  272, wengine katika picha katikati ni  meneja mtafiti na masoko Bw.Itandula Gambalagi,(kushoto)meneja wa shirika la nyumba mkoa wa Ilala Bw.Benedict Kilimba
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye mradi huo mpya wa nyumba za Mindu ili kujionea nyumba maendeleo ya mradi  wa ujenzi wa nyumba hizo
Mkurugenzi wa maendeleo ya biashara shirika la nyumba Tanzania Bw.David Shambwe akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea nyumba hizo.

No comments:

Post a Comment