Sunday, October 28, 2012

HEREHE ZA HARUSI SIKU HIZI MMMMH!!....BALAA TUPU

TUNAMWAGA RADHI;....Baadhi ya waalikwa katika moja ya sherehe ya harusi iliyokuwa ikifanyika kwenye ukumbi wa African House Tabora mjini wakiwa wanafanya vitu vyao,kibaya zaidi wengiwao ni wake za watu.

Vijembe na vikumbo vilitawala huku kila mmoja akijiachia anavyotaka yeye haijalishi kucheza na kupandisha nguo juu ili mradi nyeti zionekane hata mbele ya watoto wadogo.


Kulala chali au kulalia kifua na kuonesha mitindo mbalimbali ya tendo fulani ilikuwa ni kitu cha kawaida kabisa ingawa wengine walidiriki hata kuonesha namna walivyovipamba viuno vyao kwa shanga za aina na rangi mbalimbali hadharani.

No comments:

Post a Comment