Thursday, October 25, 2012

MKUTANO MKUU WA VIJANA DODOMA,WAMPATA MWENYEKITI MPYA

 
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed
Shein,alipokuwa akizumgumza wakati akiufunga   Mkutano Mkuu wa nane wa
Jumuiya hiyo uliofanyika  Mjini Dodoma katika ukumbi wa Chuo cha
Mipango,uliomchagua  Mwenyekiti Mpya wa jumuiya ya UVCCM Khamis Saifa
Juma, na Makamo Mwenyekiti wa UVCCM,Mboni Mohamed Mkita. [Picha na
Ramadhan Othman,Dodoma.]
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed
Shein,alipokuwa akiagana na Mwenyekiti Mpya wa jumuiya ya UVCCM Khamis
Saifa Juma, alipomaliza shuhuli ya kuufunga   Mkutano Mkuu wa nane wa
Jumuiya hiyo uliofanyika  Mjini Dodoma katika ukumbi wa Chuo cha
Mipango. [Picha na Ramadhan Othman,Dodoma.
 
Makamo Mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mohamed
Mkita,akinyanyua mikono juu kwa furaha baada ya kutangazwa,baada ya
kushinda katika uchaguzi mkuu wa nane uliofanyika Mjini Dodoma katika
ukumbi wa Chuo cha mipango.[Picha na Ramadhan Othman,Dodoma.]
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi,pia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed
Shein,(katikati) Katibu Mkuu wa CCM Taifa Willson Mkama,Naibu katibu
Mkuu CCM Zanzibar,Vuai Ali Vuai,(kulia) wakiwapongeza Mwenyekiti Mpya
wa UVCCM Khamis Saifa Juma,(wa pili kushoto) na Makamo Mwenyekiti wa
UVCCM,Mboni Mohamed Mkita,(kushoto) baada ya kutangazwa kushika nafasi
hizo katika uchaguzi Mkuu wa Nane (8) uliomalizika jana katika ukumbi
wa Chuo cha Mipango Mjini Dodoma.[[Picha na Ramadhan Othman,Dodoma.]
 
Baadhi ya wajumbe wa Mkutano Mkuu wa nane wa UVCCM
wakishangilia baada ya kutangazwa Mwenyekiti Mpya wa Jumuiya hiyo
Khamis Sadifa Juma,baada ya kushika nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu
uliomalizika jana katika ukumbi wa  Chuo cha Mipango Mjini Dodoma,na
kufunga na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,pia
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo
pichani).[Picha na Ramadhan Othman,Dodoma.]
 
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa nane wa
UVCCM Taifa,wa Mikoa mbali mbali wakishangilia ushindi wa Mwenyekiti

Mpya Khamis Sadifa Juma,(hayupo pichani) baada ya kutangazwa kuwa

mshindi katika mkutano Mkuu wa nane wa Jumuiya hiyo uliofanyika  Mjini

Dodoma katika ukumbi wa Chuo cha  Mipango. [Picha na Ramadhan

Othman,Dodoma.]

No comments:

Post a Comment