Sunday, October 28, 2012

WAMBURA APANDA CHATI ECAPBA


 
BONIFACE WAMBURA
Boniface Eambura ambaye kwa sasa ndiye Menyekiti wa kamatiu ya Viwango ya Chama cha  Ngumi za Kulipwa la Afrika ya Mashariki na Kati (ECAPBA) ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa kamati ya Viwango ya ECAPBA.
Kwa sasa Boniface Wamnura ni mwenyekiti wa Kamati ya Viwango ya Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC).
Akiwa mtaalam wa uandishi wa habari ambako amefanya kazi kama mwandishi mwandamizi na mhariri kweney vyombo mbalimbali vya habari, Wambura anategemea kuleta ujuzi wake wa mawasiliano kweney shirikisho hili linalokuwa kwa kasi sana katima ukanda huu wa Afrika ya Mashariki na Kati.
Wambura anategemea kuongoza kamati ya watu watano (5) yenye jukumu la kuandaa na kuenndeleza orodha ya viwango vya mabondia toika nchi za Afrika ya Mashariki na Kati.
Baadhi ay wajumbe wanaounda Kamati ya Viwango ya ECAPBA ni pamoja na Simon Mukisa Katogole  wa Uganda na Steven Okumu toka Kenya.

No comments:

Post a Comment