Monday, October 22, 2012

KATIKA KUSHEHEREKEA MIAKA 67 YA UMOJA WA MATAIFA TANZANIA UN FAMILY DAY YAFANA.



Kikosi cha timu ya Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa katika picha ya pamoja.
Kikosi cha timu ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Mechi ya Kirafiki kati ya timu ya Umoja wa Mataifa (Blue) na timu ya Wizara ya Mambo ya Nje (Nyeupe) katika UN Family Day ya maadhimisho ya wiki ya Umoja wa mataifa kusheherekea miaka 67 ya Umoja huo zikimenyana kwenye viwanja vya Leaders Club jijini Dar.

Austin Makani wa UNHCR (mwenye koti la suti) akiwapa mzuka timu ya Umoja wa Mataifa wakati wa mechi ya kirafiki kusheherekea maadhimisho ya wiki ya Umoja wa Mataifa ya miaka 67 tangu kuzaliwa kwa shirika hilo.
Kwa picha zaidi bofya read more

No comments:

Post a Comment